Wednesday 9 April 2014

LAHAJA ZA KISWAHILI BY. MWL JAPHET MASATU

LAHAJA ZA KISWAHILI

                               LAHAJA NI NINI ?
  
    Huu ni uzungumzaji unaotumiwa na kikundi fulani cha watu katika eneo maalum .uzuzungumzaji huu hutofautiana na vikundi kama hivyo vinavyoishi kwenye sehemu nyingine.Tofauti hii inawekuwa ya kimofolojia ,msamiati au kifonolojia
 
                              LAHAJA HUZUKA VIPI ?
 
  Huzuka kutokana na vizuizi   vinavyo  tokana kati ya makundi yanayozungumza lugha moja .Chambers &trudgill (1980) alisema kuwa vizuizi hivi vinaweza kuwa vya kijamii au vya kijografia
Vya kijografia ni kama vile milima mito  nk .vya kijamii ni kama vile ni umbali kutoka jamii moja hadi nyingine hii inaweza kuathiri lugha yao ,ikiwa hakuna uhusiano wa kimawasiliano kati ya makundi hayo   .
    wanaelimu lahaja wanasema kuwa lugha inaweza kubadilika wakati ambapo inapokelezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.baada ya muda mrefu kutakuweko na mabadiliko  katika sauti ,hapo basi msamiati mpya hutokea.kuna lahaja kuu za kiswahili kv.
(1)lahaja za kijamii
(2)lahaja za kijografia
Lahaja za kiswahili ni lahaja zakijiografia
mfano wa lahaja za kijamii ni lugha mpya kabisa ya sheng
 
   LAHAJA ZA KISWAHILI HUZUMZIWA WAPII
(1)pwani
(2)Visiwani
(3)Bara
 
     UANISHAJI WA   LAHAJA ZA KISWAHILI
Lahaja  za kiswahili zinapatikana pwani ya afrika mashariki, visiwa vya mafia lamu na ugunja.
 
 
LAHAJA ZA PWANI
 
 lahaja za kaskazini ni kv
         kitikuu/kibajuni huzungumziwa sehemu ya kismayu nchini somalia
 
         chimbalazi huzungumziwa  nchini somalia  katikati ya somalia na mogadishu

No comments:

Post a Comment